Arsenal yapanda hadi nafasi ya nne
Klabu ya Arsenal imeibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya klabu ya Southampton kwenye mchezo wa Ligu Kuu Uingereza.
Magoli ya Arsenal yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 6 na jingine likifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 17.
Kwa ushindi huo unaifanya kalabu hiyo kupanda hadi nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi hiyo.
Magoli ya Arsenal yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 6 na jingine likifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 17.
Kwa ushindi huo unaifanya kalabu hiyo kupanda hadi nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi hiyo.
Post a Comment