Hii ndio nusu fainali UEFA



DROO ya kupanga Mechi za Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imechezeshwa leo na timu hizo zimepangwa tayari ambapo Mabingwa watetezi Real Madrid wataanzia ugenini kucheza na Beyern Munich wakati Liverpool wakianza kwa kuikaribisha AS Roma. 

No comments

Powered by Blogger.