Ulimwengu aanza kung'ara algeria
Bao la pili lilifungwa na Rafik Boukbouka dakika ya 90 na ushei na kwa ushindi huo, Saoura inafikisha pointi 30 baada ya kucheza mechi na kupanda kwa nafasi moja hadi ya sita.
Saoura watakuwa na mechi tatu zaidi za Ligi ya Algeria dhidi ya CA Bordj Bou Arreridj Februari 22 , USM Bel Abbes Februari 26 na MO Bejaia Machi 2, kabla ya kucheza mechi zake mbili za mwisho za Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika.

Post a Comment