IGP Sirro - Swala la dhamana halina mjadala, atoa agizo kwa askari wote nchini
IGP Sirro amezungumzia jambo hilo akiwa Jijini Arusha akitokea mkoani Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya kukagua utekelezaji wa shughuli za kila siku za Jeshi hilo.
Sirro amewataka askari wake kwenye maeneo yote nchini kufuata weledi na kwamba suala la dhamana kwa watuhumiwa wanaokidhi vigezo halina mjadala

Post a Comment