Simba yapewa TP Mazembe Robo Fainali
Ratiba ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imetoka leo ambapo klabu ya Simba ya Tanzania itakutana na TP Mazembe ya DR Congo.
SimbaSC akimfunga TP Mazembe atakutana na mshindi kati ya CS Constantinois v Espérance Sportive de Tunis nusu fainali.
Ratiba kamili ni kama ifuatavyo;
CS Constantinois v Espérance Sportive de Tunis
Mamelodi Sundowns v Al Ahly SC
Horoya AC v Wydad Athletic Club
Simba v TP Mazembe
Michezo ya kwanza ya Robo Fainali itachezwa 5,6 April 2019 na marudio 12,13 April 2019.
SimbaSC akimfunga TP Mazembe atakutana na mshindi kati ya CS Constantinois v Espérance Sportive de Tunis nusu fainali.
Ratiba kamili ni kama ifuatavyo;
CS Constantinois v Espérance Sportive de Tunis
Mamelodi Sundowns v Al Ahly SC
Horoya AC v Wydad Athletic Club
Simba v TP Mazembe
Michezo ya kwanza ya Robo Fainali itachezwa 5,6 April 2019 na marudio 12,13 April 2019.
Post a Comment