Picha: Simba SC waanza mazoezi Morogoro kuwakabili Mbao FC


 Kikosi cha Simba SC leo jioni kimeanza mazoezi mkoani Morogoro kujiandaa kuwakabili Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL) ambao utapigwa  siku ya Jumapili 


No comments

Powered by Blogger.