Faida zitokazo na matumizi ya maji ya uvuguvugu pamoja na asali mbichi

Ili uweze kuwa na siku nzuri basi unashauriwa kuanza siku yako kwa kutumia mchanganyiko wa maji ya uvuguvugu, asali mbichi, tangawizi,  pamoja na limao. 

Unashauriwa kutumia mchangayiko huu nyakati za asubuhi mara tu unapoamka ili kupata faida zifuatazo; 

1. Husaidia kuyeyusha mafuta mwilini hivyo husaidia kupunguza uzito. 

2. Ni kinga ya dhidi ya U. T. I Kwani mchanganyiko huu husafisha kibofu cha mkojo. 

3. Husaidia kuupa mwili nguvu. 

4:Huchochea mmengenyo wa chakula 

Kunywa walau glasi mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni.

No comments

Powered by Blogger.