Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama kukutana na waandamanaji
Waanadamanaji wa vizibao vya njano wanaopinga kupanda kwa bei za bidhaa mahitaji na utawala wa rais Macron wanataraji kukutana na rais wa zamani wa Marekani Barack Obama.
Waandamanaji wa vizibao vya njano katika waraka wao waliomtumia Barack Obama amesema kuwa wanaimani kuwa mtazamo wake unaweza kuwa na umuhimu.
Kundi la waandamanaji wa vizibao vya njano ambao majina yao yamewekwa katika orodha ya uchaguzi Ulaya yamepelekwa na Thierry Paul Vadette wameomba kuonana na rais wa zamani wa Marekani Barack Obama.
Taarifa hiyo imetolewa na jarida la L e Figaro la Ufaransa.
Waandamanaji wa vizibao vya njano katika waraka wao waliomtumia Barack Obama amesema kuwa wanaimani kuwa mtazamo wake unaweza kuwa na umuhimu.
Kundi la waandamanaji wa vizibao vya njano ambao majina yao yamewekwa katika orodha ya uchaguzi Ulaya yamepelekwa na Thierry Paul Vadette wameomba kuonana na rais wa zamani wa Marekani Barack Obama.
Taarifa hiyo imetolewa na jarida la L e Figaro la Ufaransa.

Post a Comment