BREAKING: Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia


Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo, taarifa ya Clouds Radio imeeleza. 

Kifo cha mtangazaji huyo kinakuja siku chache baada kufariki Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media,Ruge Mutahaba. 

No comments

Powered by Blogger.