BREAKING NEWS MO APATIKANA AKIWA HAI

Mfanyabiashara Maarufu hapa Nchin Mohammed Dewji amepatikana akiwa hai leo Alfajiri baada ya kutekwa na watu wasiojulikana tangu 11/10/2018.

Kwa taarifa Zaidi tutaendelea kukuletea muda sio mrefu. 

No comments

Powered by Blogger.